RADIC
Utengamao kwa wote kupitia ubunifu wa kidijitali na umahiri mpya




RADIC ni kifupi cha maneno “Utengamao kwa wote kupitia ubunifu wa kidijitali na umahiri mpya”. RADIC ni mradi wa utafiti unaolenga kuchangia katika kujenga uwezo wa elimu ya juu ili kusaidia na kuendeleza mabadiliko ya kidijitali katika Afrika Mashariki. Mradi ulianza mwezi Machi 2023 na utaendelea hadi Februari 2026.
"Mradi huu umefadhiliwa na Umoja wa Ulaya. Maoni na mitazamo iliyotolewa ni ya waandishi pekee na hayaakisi lazima maoni ya Umoja wa Ulaya au Wakala wa Umoja wa Ulaya wa Elimu na Utamaduni (EACEA). Umoja wa Ulaya wala EACEA hawawajibikii maoni hayo."